Tuesday, October 2, 2012
Thursday, June 7, 2012
![]() |
| HAPA JAMA WAKIFANYA MAANDALIZI YA BAISKERI HIYO |
![]() |
| Add caption |
![]() |
| WAKIWA WANACHOMELEA VYUMA KWA AJILI YA BAISKERI HIYO |
![]() |
| HAPA WAKIMPA SUPORT YA KUIPANDA BAISKERI HIYO |
![]() |
| HAPA AKIWA MTAANI AKIWA TAYARI AMEFANIKIWA KIRE ALICHOKITARAJIA |
Friday, April 13, 2012
MARIO BALOTELLI
Mario Balotelli
Maisha Yake ya Awali
Balotelli alizaliwa kwa wavyele ambao walikuwa wahamiaji kutoka nchi ya Ghana, Thomas na Rose Barwuah katika mji mkuu wa Kiitaliano wa Palermo. Familia hii ilihamia Bagnolo Mella katika mkoa wa Brescia, Lombardy muda mfupi baada ya kuzaliwa kwa Balotelli. Mwaka wa 1993, akiwa na umri wa mika tatu, familia ya Barwuah ilikubali kuipatia familia ya Balotelli Mario huku hatua za kisheria zikipitishwa rasmi na Mahakama ya Brescia. Balotelli baadaye aliwashtaki wazazi wake waliomza kwa kosa la "uwindaji wa utukufu", na kusema kwamba wao walimtaka tu kwa sababu ya umaarufu wake. Wanaishi katika mji wa Concesio katika sehemu ya Brescia. Kulingana na Sheria ya 91 ya Februari 5, 1992, Balotelli alibidi kusubiri hadi siku yake ya kuzaliwa ya 18 ili apeane ombi la uraia wa Kiitaliano, kwani kupeanwa kwake kwa familia ya Balotelli haikuwa kamili, lakini alipata uraia huo rasmi tarehe 13 Agosti 200Wasifu wa Klabu
Lumezzane
Balotelli alianza wasifu wake na klabu ya Lumezzane. Akiwa na umri wa miaka 15, alipandishwa ngazi hadi kwa timu kuu, na kucheza mechi yake ya kwanza ya ligi ya Serie C1 dhidi ya Padova.
Internazionale
Internazionale walimsaini Balotelli kwa mkopo pamoja na chaguo la kumnunua mwaka wa 2006. Alianza katika kikosi chao cha vijana wasiozidi umri wa miaka 17 kisha alijiunga na timu ya vijana wasiozidi umri wa miaka 20 ya Primavera akiwa na umri wa miaka 16. Alifunga mkwaju wa penalti lililovunja sare ya 0-0 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Sampdoria katika fainali ya ligi ya Primavera na alivua sifa kutoka kwa watu pamoja na mwenyekiti wa Inter Massimo Moratti.
Balotelli alicheza mechi yake ya kwanza ya timu kuu mnamo Desemba 2007, kwa kuingia kama mbadala wa David Suazo katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Cagliari. Siku tatu baadaye, alianzishwa katika mechi ya Coppa Italia dhidi ya Reggina na alifunga mabao mawili katika ushindi wa 4-1. Balotelli alipata usikivu wa kitaifa baada ya kufunga mabao mawili dhidi ya Juventus katika mechi ya marudiano ya robo-fainali ya Coppa Italia , kwa kusisimua katika ushindi wa Nerazzurri wa 3-2 ugenini. Bao lakek la kwanza la Serie A lilikuja mwezi Aprili mwaka wa 2008 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Atalanta ugenini. Inter iliendelea na matokeo bora na hatimaye kushinda scudetto-ligi ya Kiitaliano- msimu wa 2007-08. Balotelli alikuwa mbadala katika fainali ya Supercoppa Italiana mwaka wa 2008 dhidi ya AS Roma. Aliingia kama mbadala wa Luis Figo, na kufunga bao katika dakika ya 83. Inter iliishinda fainali hiyo kupitia mikwaju ya penalti kwa mabao 6 kwa 5 baada ya mechi kumkamilika kwa sare ya 2-2.
Kabla ya kuanza kwa msimu wa 2008-09 Balotelli alisaini mkataba wa miaka mitatu na Inter. Mnamo Novemba 2008, alifunga bao lake la kwanza la Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya{ /0}, dhidi ya upande wa Cypriotiska Anorthosis Famagusta na kuwa mchezaji mwenye umri mdogo zaidi wa Inter kufunga bao katika Ligi ya Mabingwa barani Ulaya. Akiwa na umri wa miaka 18 na siku 85 alivunja rekodi ambayo awali ilikuwa inashilikiwa na Obafemi Martins alipokuwa na umri wa miaka 18 na siku 145. Aprili 2009, Balotelli alifunga bao la Inter katika sare ya 1-1 dhidi ya Juventus, na alinyanyaswa kirangi na mashabiki wa Juventus mechi nzima, pamoja na nyimgo kama "hakuna Mitaliano Mweusi". Hii ilisababisha Massimo Moratti kusema kwamba iwapo angekuwa, angeiambia timu yake iwache kucheza. Nyimbo hizi za kubagua rangi pia yalishutumiwa na mwenyekiti wa Juventus, Giovanni Cobolli Gigli. Juventus walipigwa marufuku ya mechi moja nyumbani kwa sababu ya tukio hilo. Inter ilishinda taji la Serie A kwa mara ya nne mfululizo.
Katika msimu wake wa pili na timu ya kwanza ya Inter, Balotelli alikuwa na idadi ya matatizo ya nidhamu, hasa tatizo ambalo lilimshirikisha kocha wa Inter, Jose Mourinho ambaye alimfukuza kutoka kwa timu ya kwanza katika nusu ya pili ya msimu mwezi wa Januari. Kocha huyu mwenye raia wa Kireno alisema "mimi ninavyojua, kijana kama yeye hawezi kujiruhusu kufanya mazoezi kidogo kama wachezaji kama Figo, Cordoba, na Zanetti." Mapema msimu huo Mourinho alisema kuwa Balotelli anaonyesha ukosefu wa juhudi katika mazoezi.
Wasifu wa Kimataifa
Kutokana na matatizo ya kisheria ya Balotelli, hakuweza kuzichezea timu za vijana wasiozidi umri wa miaka 15 na 17, kwani bado alikuwa anafikiriwa kuwa mhamiaji wa Ghana.
Mnamo 7 Agosti 2007, siku tano kabla ya siku yake ya kuzaliwa ya 17, Balotelli alipokea ombi lake la kwanza la kimataifa kutoka kwa kocha wa Ghana Claude Le Roy kushiriki katika mechi ya kirafiki dhidi ya Senegal katika Uwanja wa New Den katika mji mkuu wa London, Uingereza tarehe 21 Agosti 2007. Hata hivyo, aliikataa ombi hilo kwa kuonyesha tena utashi wake kuichezea timu ya Italia wakati atakuwa na umri wa miaka 18. Pia alisema utashi wake wa kuiwakilisha timu ya Italia katika kiwango cha kimataifa mara tu atakapopewa pasipoti ya Kiitaliano .
Kocha wa timu ya Italia ya vijana wasiozidi umri wa miaka 21, Pierluigi Casiraghi alionyesha nia yake ya kumtaja Balotelli katika kikosi chake punde tu atakapo pata uraia wa Kiitaliano. Mnamo 13 Agosti 2008, hatimaye Balotelli alipewa uraia wa Kiitaliano, na katika mkutano wa waandishi wa habari siku hiyo hiyo alisema ana nia kuichezea timu ya Italia ya vijana wasiozidi umri wa miaka 21. Mnamo 29 Agosti, Casiraghi hatimaye alimwita aje akajiunge na Azzurrini kwa mechi dhidi ya Ugiriki na Kroeshia. Alifunga bao lake la kwanza la kimataifa katika sare ya 1-1 dhidi ya timu ya Ugiriki ya vijana wasiozidi umri wa miaka 21, kisha akafunga mabao mawili dhidi ya Israeli katika mechi za kufuzu kushiriki katika shindano la Ulaya la vijana wasiozidi umri wa miaka 21 mwaka wa 2009.
Mnamo Februari 2009, kocha wa timu ya Italia ya vijana wasiozidi umri wa miaka 21,Pierluigi Casiraghi, alimshtukumu Balotelli kwa kukosa kusafiri na timu yake kutumia ndege hadi Trieste ambapo Casiraghi alikuwa na kikao cha mazoezi. Ilidaiwa kuwa Balotelli alilala kupindukia na ilimbidi ajiendeshee gari mwenyewe hadi Trieste ndiposa ajiunge na wachezaji wengine wa timu.
Balotelli alionyeshwa kadi nyekundu katika dakika ya 36 ya nusu ya kwanza katika mechi dhidi ya wenyeji Uswidi katika mashindano ya vijana wasiozidi umri wa miaka 21 ya Ulaya kwa kuzua vurugu dhidi ya Ponto Wernbloom. Hii ilikuwa baada yake kufunga katika dakika ya 23 na kuiweka timu yake juu 1-0.
Friday, December 30, 2011
Main Causes of Stress Due To External Conditions
Here, we will study the main causes of stress which arise due to external circumstances. We have seen elsewhere that stress can be caused by your external circumstances or your perceptions and attitudes.
Stress is the reason for two thirds of the total visits to the Physician. It is also the leading cause of the coronary artery diseases, cancer, accidents and respiratory diseases besides some others.
Stress aggravates following illnesses: Hypertension, insomnia, diabetes, herpes, multiple sclerosis, etc. Besides, stress that continues for long periods of time can lead to: poor concentration, irritability, anger, and poor judgment.
Stress leads to marriage breakups, family fights, road rage, suicides and violence.
What are the biggest causes of present day stress, and how do these lead to such high levels of tension?
The main causes of stress that arise due to the external environment were studied by Thomas H. Holmes and Richard H. Rahe, from the University of Washington . In 1967 they conducted a study on the connection between certain important life events and the illnesses. As a part of that study they also compiled a list of main reasons of stress in the society.
At the time the study was conducted there were 55 triggers of stress. The list was reviewed in 2006 and that list now contains 63 main causes of stress.
From the studies conducted by Holmes and Rahe, and also other studies that have been conducted from time to time, it seems that following are the biggest causes of present day stress levels in modern societies:
1. Financial Problems – This is the number one source of stress these days. You and your family are not be able to do what you want to due to lack of money. Debts are piling up. Credit Card payments, pending mortgage installments, rising costs of education, mounting expenditure on health concerns. Financial matters top the list of stressors.
2. Workplace Stress – Stress at workplace is another of the main causes of stress. You may be worried about your next promotion. You might be facing the negative or bullying behavior of your boss. You might not be reaching your well-deserved career goals; you might be worried due to office politics. You might be stressed about some major change that is taking place in the organization, or, you might be under stress because of the prospect of losing your job.
3. Personal Relationships – Studies of children, attitude of relatives, arguments with spouse or children, change of place due to requirements of your job, illness of a family member, moving in of parents or moving out of elder children are all main causes of stress.
4. Health – Heart diseases, hypertension, problems with eye sight and sugar afflict many people becoming a major cause of life stress for them. Maintaining good health, reducing weight, increasing weight, being able to lead a healthy life-style: all of these and a few more are the main causes of stress due to health concerns.
5. Irritants - Besides the ones that I have mentioned above there are those annoyances and irritations that you encounter in your daily lives which go on to become biggest sources of stress for you. Problems in commuting to workplace, balance of work and family life, PTMs at children’s schools, workload, visit to doctor, not enough sleep, no time to relax, no time to discuss some nagging problems – who is not aware of these stresses and strains of our lives? You fight with them every day.
These main causes of stress are taking their toll on today’s urban man in the shape of stress related diseases that we mentioned at the top.
But, do you let all of these get on your nerve, getting you all stressed up and making you prone to all the stress-related diseases? – Or have you found ways to live a stress-free and full life despite many problems that beset you?
Develop resilience and never let stress get you down. It can be learnt. But, yes, you have to try.
You may like to take Dr. Rahe’s stress test to see how stressed you are.
To break yourself out of the daily stresses, start by practicing stress releasing exercises, and you will be on your way to freedom from the main causes of stress afflicting our present day lifestyle.
These main causes of stress are taking their toll on today’s urban man in the shape of stress related diseases that we mentioned at the top.
But, do you let all of these get on your nerve, getting you all stressed up and making you prone to all the stress-related diseases? – Or have you found ways to live a stress-free and full life despite many problems that beset you?
Develop resilience and never let stress get you down. It can be learnt. But, yes, you have to try.
You may like to take Dr. Rahe’s stress test to see how stressed you are.
To break yourself out of the daily stresses, start by practicing stress releasing exercises, and you will be on your way to freedom from the main causes of stress afflicting our present day lifestyle.
To break yourself out of the daily stresses, start by practicing stress releasing exercises, and you will be on your way to freedom from the main causes of stress afflicting our present day lifestyle.
Saturday, November 19, 2011
Thursday, October 20, 2011
A LETTER FROM T.I BEFORE SEPTEMBER RELEASE
T.I is about to be released from prison. Here is the letter to the world and especially his fans.
What up world? This will be my last message from Forrest City. Just reaching out and sending my love, respect and appreciation to all who have been ridin’ with me throughout this chapter in my life and not just recently but since all the things started happening one after another back in ’06. From Big Phil’s murder to my beautiful little angel Leiah being called home to heaven, to my arrest in ’07, the 1st prison sentence in ’09, to this last journey that I’m nearing the end of. A lot of people who are aware of all that has happened to me in my life say that there aren’t many men who could have endured and withstood so much pain, pressure and turmoil while managing to remain sane and keep their wits about them. I must say that I wouldn’t have been able to do so without God’s grace and having a strong support system behind me every step of the way. So often we spend time acknowledging the presence of “haters” and all the negativity they send our way but we don’t take the time to acknowledge and appreciate all the ones who love and support us and supply us with the positive energy we need to overcome. We complain about the pain so much that we don’t even notice how much stronger, wiser and better of a person the suffering has allowed us to become. I heard Pac say once “To live is to suffer and to survive is to find meaning in that suffering.” I later found out it came from an author by the name of Friedrich Nietzsche. When I heard Pac say that it was just some hard shit to hear your favorite rapper say before he kicked a verse. Now that I’ve gone through it and grown from it those words have a real true meaning to me. I know this won’t be my last battle with adversity but it has truly prepared me for whatever else may come in the future. For that also I’m thankful. Now it goes without saying that I hate I had to come back to prison for these 10 months but I am truly grateful for the knowledge, growth and understanding I’ve received from the experience.Next time you hear from me I’ll be back out there with you. Doing for those who can’t do for themselves and speaking for those whose voices are never heard. When I touch down, I’m going all the way back to square one, like I’m fresh in the game and never sold a record. Back on some I’M SERIOUS, TRAP MUZIK shit… But until then RESPECT to all who deserve it. I’ll be back at you in a minute.
- KING
Subscribe to:
Posts (Atom)
























